April 10, 2025

FELIX Minziro, Kocha Mkuu wa Alliance amesema kuwa wanatambua wana kazi ngumu ya kufanya leo mbele ya Yanga ila wapo tayari hawana hofu.

Alliance itakaribishwa na Yanga Uwanja wa Taifa majira ya saa 11:00 jioni ikiwa ni mchezo wa pili kukutana msimu huu kwenye ligi.

Minziro amesema: "Tunawatambua wapinzani wetu hatuna hofu nao kwani wachezaji wapo sawa nasi tutapambana kupata pointi tatu muhimu,".

Mchezo wa kwanza Alliance ilipoteza kwa kufungwa mabao 2-1 Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza.

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

Post a Comment

    Author Name

    Contact Form

    Name

    Email *

    Message *

    Powered by Blogger.