April 10, 2025

Uongozi wa Yanga umesema kuwa sababu kubwa ya muda wa mpira kubadilishwa mara kwa mara ni kutokana na timu ya Taifa ya Uganda kutaka kuutumia Uwanja wa Taifa kwa mazoezi.

Akizungumza na Saleh jembe, Ofisa Uhamasishaji wa Yanga Atonio Nugaz amesema kuwa timu ya Uganda ya wanawake ilikuwa inahitaji kupata muda wa mazoezi.

"Timu ya Taifa ya Uganda ilikuwa inahitaji kupata muda wa kufanya mazoezi jambo ambalo lilichangia muda wa mpira kubadilika mara kwa mara," amesema.

Yanga itamenyana na Alliance Uwanja wa Taifa saa 1:00 jioni awali ulipangwa ucheze saa 10 na baadaye ulipelkwa mbele saa 11.

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

Post a Comment

    Author Name

    Contact Form

    Name

    Email *

    Message *

    Powered by Blogger.