April 10, 2025

IMEELEZWA kuwa kiungo mshambuliaji wa timu ya Yanga, Bernard Morrison amepata ofa mezani kutoka Afrika Kusini zikiwa na lengo la kuipata saini yake.

Morrison amejiunga na Yanga kwenye usajili wa dirisha dogo amekuwa kwenye kiwango kizuri kwani amefunga mabao mawili akiwa na timu hiyo.

Morrison alitajwa pia kuingia anga za Simba ambao waliushtua uongozi wa Yanga na kufanya wakae chini ili waongeze mkataba na nyota huyo ambaye inaelezwa amesaini kandarasi ya miezi sita.

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

Post a Comment

    Author Name

    Contact Form

    Name

    Email *

    Message *

    Powered by Blogger.