April 11, 202512:51:41 AM


JOHN Bocco, nahodha wa Simba amesema kuwa wachezaji wapo tayari kwa ajili kutimiza majukumu ya ndani ya Uwanja, wao wanahitaji sapoti ya mashabiki.

Machi, Mosi, Simba itamenyana na KMC Uwanja wa Taifa majira ya saa 1:00 usiku mchezo wa mzunguko wa pili.

Bocco amesema :" Wapinzani wetu tunatambua kwamba wanahitaji pointi tatu nasi tupo tayari kuzipata pointi tatu kikubwa mashabiki watupe sapoti ili kuona namna gani tutazipata pointi hizo tatu,".

Mchezo wa kwanza wa mzunguko wa kwanza, Simba ilishinda mabao 2-0.

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

Post a Comment

    Author Name

    Contact Form

    Name

    Email *

    Message *

    Powered by Blogger.