April 10, 2025


UONGOZI wa Yanga umesema kuwa umejipanga kusepa na pointi tatu leo mbele ya Alliance kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa Taifa.

Ofisa Habari wa Yanga, Hassan Bumbuli amesema kuwa kikosi kipo tayari na wachezaji wana morali kubwa ya kusaka ushindi.

Bumbuli amesema:"Tumekuwa tukiambiwa wanyonge kutokana na matokeo ambayo tumekuwa tukiyapata hilo hatulijali kwa kuwa ubora wetu tunautambua na hatubahatishi tupo imara.

"Baada ya kumalizana na Gwambina sasa kazi inayofuata itakuwa dhidi ya Alliance, tupo tayari kuona tunapata ushindi kikubwa tunachotaji pointi tatu, mashabiki watupe sapoti,".

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

Post a Comment

    Author Name

    Contact Form

    Name

    Email *

    Message *

    Powered by Blogger.