April 11, 2025


ANDREW Simchimba, mshambuliaji wa Azam FC jana ameiokoa timu yake usiku kuweza kusepa na pointi tatu mbele ya JKT Tanzania kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma.

Bao hilo la ushindi lilifungwa dakika ya 90 na kuifanya JKT ipoteze matumaini ya kusepa na pointi moja kwenye mchezo huo ambao wao walikuwa wenyeji.

Azam FC inafikisha pointi 48 ikiwa imecheza mechi 25 inajikita nafasi ya pili huku kinara akiwa ni Simba mwenye pointi 62.

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

Post a Comment

    Author Name

    Contact Form

    Name

    Email *

    Message *

    Powered by Blogger.