April 11, 2025

LEO, Februari 26 Uwanja wa Kaitaba kutakuwa na mchezo wa hatua ya 16 bora kati ya Kagera Sugar na KMC, saa 10:00 jioni.

Mecky Maxime, Kocha Mkuu wa Kagera Sugar amesema kuwa kikosi kipo tayari kwa ushindani na amewaandaa vijana wake kwa ajili ya mchezo wa leo.

"Maandalizi yapo tayari na kila kitu kipo sawa, vijana wangu wanatambua kwamba mchezo utakuwa mgumu kwa kuwa tunacheza na timu imara na yenye hasira ya kutafuta matokeo.

"Wito wangu kwa mashabiki kujitokeza kwa wingi uwanjani kuipa sapoti timu yao," amesema

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

Post a Comment

    Author Name

    Contact Form

    Name

    Email *

    Message *

    Powered by Blogger.