MABINGWA watetezi wa Kombe la Shirikisho, Azam FC wametinga hatua ya robo fainali leo kwa ushindi wa penalti 5-4 mbele ya Ihefu FC ya Mbeya. Dakika tisini mabingwa hao watetezi walitoshana nguvu na Ihefu kwa kulazimisha suluhu. Mchezo huo ulichezwa Uwanja wa Sokoine Mbeya ulikuwa na ushindani mkubwa
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.