April 10, 2025

Na Mwandishi Wetu, GENK
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta jana amefunga bao lake la kwanza la msimu, lakini bahati mbaya timu yake imechapwa 3-1 na wenyeji, KV Mechelen katika mchezo wa pili tu wa Ligi Daraja la Kwanza A Ubelgiji.
Katika mchezo huo uliofanyika Uwanja wa AFAS- Achter de Kazerne mjini Mechelen, Malines, Samatta alifunga dakika ya dakika ya 45 na ushei akimalizia pasi ya kiungo Mbelgiji, Bryan Heynen.
Na hilo lilikuwa bao la kusawazisha baada ya KV Mechelen kutangulia kwa bao la Muivory Coast, William Togui dakika ya 18, kabla ya washambuliaji wenzake, Msweden Gustav Engvall kufunga la pili dakika ya 77 na Mbrazil, Igor Alberto de Camargo kufunga la tatu dakika ya 80.



Ushindi huo ni sawa na kulipa kisasi kwa Mechelen baada ya kuchapwa 3-0 kwenye mchezo wa Super Cup Julai 20 Uwanja wa Luminus Arena mjini Genk.
Ikumbukwe mchezo wa kwanza wa msimu, Genk ilianza vyema ushindi wa 2-1 dhidi ya Kortrijk Uwanja wa Luminus Arena.
Jana Samatta  mwenye umri wa mi...

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

Post a Comment

    Author Name

    Contact Form

    Name

    Email *

    Message *

    Powered by Blogger.