April 26, 2025



PATRICK Aussems, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa mchezo wake dhidi ya UD Songo utakuwa mgumu na amejipanga kufanya vizuri hivyo mashabki wajitokeze kwa wingi.

Kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika Simba ililazimish sare tasa ya 0-0 na UD Songo nchni Msumbiji hivyo wana kazi ya kutafuta ushindi Agosti 25 uwanja wa Taifa.

"Kwa sasa tunaendelea na maandalizi kuelekea mchezo wetu wa marudiano kwani baada ya kumalizana na Azam FC hesabu zetu ni kwenye mchezo wetu wa marudio.

"Bado sijajua kama nitamtumia mchezaji wangu John Bocco nadhani nikipata ripoti nitajua hatma yake," amesema.

Bocco alipata maumivu kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Azam FC uwanja wa Taifa alishindwa kumaliza kipindi cha kwanza nafasi yake ilichukuliwa na Clatous Chama ambaye alifunga bao la 3 kwenye ushindi wa mabao 4-2.
Tags:

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

Post a Comment

    Author Name

    Contact Form

    Name

    Email *

    Message *

    Powered by Blogger.