PAUL Peter, mshambuliaji wa Azam FC leo amefunga bao pekee la ushindi kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Polisi Tanzania.
Mchezo huo wa kirafiki umechezwa uwanja wa Chamazi ukiwa na lengo la kuimarisha kikosi ulikuwa na ushindani mkubwa kwa timu zote kutafuta matokeo.
Bao pekee la ushindi kwa Azam FC limepachikwa dakika ya tatu limedumu mpaka mwisho wa dakika tisini.
Mchezo huo wa kirafiki umechezwa uwanja wa Chamazi ukiwa na lengo la kuimarisha kikosi ulikuwa na ushindani mkubwa kwa timu zote kutafuta matokeo.
Bao pekee la ushindi kwa Azam FC limepachikwa dakika ya tatu limedumu mpaka mwisho wa dakika tisini.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.