Timu ya soka ya Simba kuoneshaana ubabe na Costal Union leo ambao mchezo utachezwa kwenye Uwanja wa Uhuru ukiwa ni mchezo wa ligi kuu.
Simba kwa sasa wako nafasi ya kwanza wakiwa na...
KOCHA Mkuu wa Yanga, Luc Eymael amesema kuwa tabia ya kuchezea mpira na chenga za maudhi zinazofanywa na Bernard Morrisson raia wa Ghana, hafurahishwi nayo kwani itaigharimu timu yake.
Morr...
UBORA anaoendelea kuuonyesha mshambuliaji wa Simba, Meddie Kagere, katika kupachika mabao umefunika uwezo wa klabu za Singida United na Ndanda FC.
Kagere ndiye kinara wa ufungaji mabao katika...
KIPA namba moja wa Yanga, Farouk Shikalo Jumatano ya wiki hii aliondoka nchini na kurejea kwao Kenya kwa ajili ya kwenda kutatua matatizo ya kifamilia.
Imeelezwa kuwa staa huyo amekwenda kumu...
KOCHA Mkuu wa Simba, Mbelgiji, Sven Vanderbroeck anatarajia kuivunja safu yake ya ulinzi inayoundwa na Muivory Coast, Pascal Wawa pamoja na Erasto Nyoni, kisha kuisuka upya.
Vanderbroeck amef...
THOBIAS Kifaru, Ofisa Habari wa Mtibwa Sugar amesema kuwa mchezo wao wa ligi dhidi ya Yanga hawana presha nao kwa kuwa wamejipanga kuwachapa mapema ili kuzibeba pointi tatu muhimu.
Mtibwa Sug...
MWENDO wa Yanga ndani ya Ligi Kuu Bara unashtua kutokana na mzani wake kuwa sawa pande zote mbili kwa upande wa kufunga na kufungwa mabao ndani ya ligi.
Yanga iliyo chini ya Luc Eymael, imefung...
SIKU chache baada ya uongozi wa klabu ya Yanga kutangaza kuitisha mkutano mkuu wa dharura Februali 16 mwaka huu, mkutano huo umehairishwa hadi hapo watakapotangaza tena.
MBWANA Samatta, nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania anayekipiga klabu ya Aston Villa amesema kuwa hana cha kuwaambia mashabiki wa Tanzania zaidi ya asante kwa sapoti wanayompa.Samatta alianza kazi...
ACHANA na idadi ya mabao ambayo mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara waliyapata mbele ya Namungo FC kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Taifa, unaambiwa Simba walikuwa wanawaringishia...
TIMU ya Tanzania Prisons ya Mbeya imeamua kukimbia kivuli cha Yanga kilichokuwa inaitesa timu hiyo kwa kushindwa kupata matokeo chanya Uwanja wa Samora waliokuwa wanautimia kwenye mechi zake za ...
Kamati ya saa 72 kupitia kwa Makamu Mkurugenzi wa Bodi ya Ligi, Ibrahim Mwanyela, ametoa mustakabali wa Bodi ya Ligi na Maamuzi waliofanya kwenye Mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara na Ligi Daraja la k...
Leo ni siku ya hekaheka kwa wachezaji, mawakala na makocha. Ijumaa ya leo Januari 31 ni mwisho wa dirisha dogo la usajili la majira ya baridi.Kufikia saa sita ya usiku kwa saa za Ulaya timu nyingi ...
Bodi ya ligi kupitia kwa kamati ya saa 72 imemuondoa kwenye orodha ya waamuzi, Amon Gombeza aliyechezesha mechi ya ligi daraja la pili baina ya DTB na Tukuyu Star na kwa kosa la kuanzisha mchezo hu...
Mwenyekiti wa timu ya soka ya Yanga kwa kushirikiana na kamati ya utendaji ya timu hiyo wamehairisha mkutano mkuu wa dharura uliokuwa ufanyike februari, 16 mwaka huu.
STAA wa Real Madrid, Eden Hazard, ameanza kufanya mazoezi ya uwanjani baada ya kuwa nje kwa muda mrefu akiuguza majeraha.
Hazard alianza mazoezi hayo juzi Jumanne akiwa na Marco Asensio ambay...
Baada ya kuonyesha vitu adimu vilivyomkosha kila Mwanayanga na kuwaumiza wapinzani, straika wa Yanga, Bernard Morrison, ameingia chimbo kutengeneza dawa ya mabeki jeuri.
Morrison aliyetua Yan...
WAKATI nyota wa Yanga raia wa Ghana, Bernard Morrison, akiendelea kuwafanya wapenzi wa timu hiyo washindwe kuamini anachofanya uwanjani, kocha mkuu wa Yanga, Luc Eymael, anatarajia kushusha vifa...
KLABU ya Yanga kupitia kwa mdhamini wao Kampuni ya GSM leo Januari 30, 2019 wamefanikisha kutoa masaada wa fedha mahitaji ya chakula cha miezi mitatu pamoja na kugharimia matibabu ya Anna Majali...
Kocha Mkuu wa Yanga amefunguka machache kuhusiana na matokeo ya mchezo baina ya Simba dhidi ya Namungo FC ambayo yalikuwa ni ushindi wa mabao 3-2 kwa Simba.