BARAKA MAJOGORO ATAJA SABABU YA KUTUMIA JEZI NAMBA 15
BARAKA Majogoro nyota anayekipiga ndani ya Klabu ya Polisi Tanzania amesema kuwa sababu kubwa ya kuchagua kutumia jezi namba 15 uwanjani ni kuikumbuka siku yake aliyoletwa duniani.Akizungumza na Sa...