MOHAMED Salah Hamed Mahrous Ghaly ndio jina lake huyu nyota anayekipiga ndani ya Liverpool akiwa ni raia wa Misri na anakipiga pia kwenye timu yake ya Taifa.Amezaliwa Juni 15,1992 ana miaka 27 amet...
SERIE A Ligi Kuu ya Italia kwa sasa imesimama kupisha maambukizi ya Virusi vya Corona.Mpaka inasimama vinara wao kwa utupiaji huku Ciro akimkimbiza Cr 7 kwa kumuacha kwa idadi ya mabao sita ipo hiv...
KLABU ya soka ya Azam imempatia programu maalumu ya mazoezi mchezaji wake aliyesajiliwa katika dirisha dogo la mwezi Januari, Khleffin Hamdoun ili kuzoea utamaduni wa Azam FC na kuongeza ujuzi w...
DITRAM Nchimbi, mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa kwa sasa anaendelea na programu aliyopewa na Kocha Mkuu Luc Eymael ili kulinda kipaji chake.Ligi Kuu Bara imesimama kwa muda ili kupisha maambukiz...
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa ni wakati wa nahodha wa Simba, John Bocco kurejea Azam FC kwa kuwa ndio maskani yake ilipo.Bocco alijiunga na Simba msimu wa 2017 akitokea Azam FC yenye maskani yake...
BERNARD Morrison, kiungo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa mabao yake yanachangiwa kwa kiasi kikubwa na dua maalum ambazo zinafanywa na mke wake pamoja na binti yake.
Morrison amesema mkewe ...
HENRIKH Mkhitaryan nyota wa timu ya Arsenal anayekipiga ndani ya Klabu ya Roma kwa mkopo huenda akabaki jumla kikosini humo iwapo watamhitaji.
Nyota huyo mwenye miaka 31 alizaliwa Januari 21,19...
JUMA Abdul, nahodha msaidizi wa Yanga amehusika kwenye mabao matano kati ya 31 yaliyofungwa na Yanga kwenye Ligi Kuu Bara.Abdul ametoa pasi tano ndani ya Yanga na anaongoza kwa kutoa pasi za mwisho...
YUSUPH Mhilu, nyota wa timu ya Kagera Sugar amesema kuwa kwa sasa anaendelea na mazoezi ya kulinda kipaji chake ili kuwa bora endapo Ligi Kuu Bara itarejea.Kwa sasa ligi imesimamishwa kutokana na m...
BEKI wa Real Madrid, SERGIO Ramos amesema kuwa anatambua kuwa wanapita kwenye kipindi kigumu kutokana na maambukizi ya Virusi vya Corona.
Ramos, jana Machi 30 alikuwa anatimiza miaka 34 na ma...
NYOTA Erling Braut Haalad anayekipiga Dortmund kuhusu Virusi vya Corona ni lazima tuungane wote katika mapambano.Virusi vya Corona vimekuwa janga la dunia ambapo kwa sasa shughuli nyingi zimesima...
GADIEL Michael Mbaga alitua Simba kama sahihisho la Mohammed Hussein Zimbwe kwa maana ya kuwa akionekana ni bora kwa mambo kadhaa.Wakati anatua Simba, Zimbwe amekuwa bora zaidi, kwa sasa ni namba t...
AINSLEY Cory Maitland-Niles, raia wa Uingereza hana uhakika wa kubaki ndani ya kikosi cha Arsenal kwa sasa.
Mikel Arteta, Kocha Mkuu wa Arsenal amekuwa hana mpango wa kumtumia nyota huyo kwe...
UONGOZI wa Simba umempa pongezi Francis Kahata kwa kujitolea kwa jamii yake nchini Kenya.Kahata ambaye kwa sasa yupo nchini Kenya alitoa msaada wa lita 10,000 za maji safi katika eneo la Mathare, j...
LUIS Gustavo Dias ni kiungo raia wa Brazil anayekipiga ndani ya klabu ya Fenarbahce kwa sasa.Kwenye maisha yake ya soka ni timu ya Vfl Wolfsburg alicheza mechi nyingi ambazo ni 109.Ilikuwa ni 2013-...
BERNARD Morrison, kiungo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa kazi kubwa kwa sasa ni kujiweka fiti ilikuwa imara.Morrison amekuwa kwenye ubora wake licha ya kucheza kwa muda mfupi baada ya kujiunga n...
JACK Grealish, nahodha wa Aston Villa ameomba radhi baada ya kuvunja agizo la Serikali la kujifungia ndani wakati huu wa mlipuko wa virusi vya Corona.Grealish, anacheza na nyota wa Tanzania Mbwana ...
MEDDIE Kagere, mshambuliaji wa Simba amesema kuwa anapenda kazi yake ya mpira jambo linalomfanya afurahie kufunga kila wakati akiwa ndani ya uwanja.Ligi Kuu Bara kwa sasa imesimama ili kupisha maam...
LIONEL Messi nahodha wa Barcelona, amesema kuwa jambo la wachezaji kukatwa mshahara limechelewa kufanyika kwa sababu wachezaji walikuwa wanapambana kuisadia klabu pamoja na kuwasiaidia wale walioat...
AISHI Manula mlinda mlango namba moja wa Simba amesema kuwa Bernard Morrison wa Yanga anastahili pongezi kwa kumtungua bao kwenye mchezo wa watani wa jadi uliochezwa Machi 8, Uwanja wa ...
Mbaraka Yusuph, mshambuliaji wa Azam FC amesema kuwa kwa sasa anaendelea na mazoezi binafsi akiwa nyumbani ili kurejea kwenye kasi yake ya zamani.
Mbaraka alikuwa nje kwa muda mrefu kutokana...
MSHAMBULIAJI wa KMC, Salim Aiyee amesema kuwa sababu kubwa inayomfanya Meddie Kagere wa Simba kufunga mabao mengi ni muunganiko anaoupata ndani ya Simba pamoja na kutokuwa na majeruhi.Aiyee alijiun...
PAUL Nonga, nahodha wa Lipuli amesema kuwa kinachomfanya kuwa bora ndani ya Lipuli ni kutokana na ubora wa wachezaji anaocheza nao.Nonga ni miongoni mwa manahodha wazawa wenye mabao mengi ndani ya ...
DOGO mpya wa Barcelona, Pedro González López amesema hajui cha kufanya siku atakapokaa pembeni ya staa wa timu hiyo, Lionel Messi, Pique au Suarez kwani itakuwa siku ya kipekee kwake.
P...