Klabu ya Celtic ya Uskochi inaweza kujaribu kumsajili kiungo wa klabu ya Tottenham na Kenya Victor Wanyama, 28, mwezi Januari, kwa mujibu wa kocha wa klabu hiyo Neil Lennon. Wanyama aliwika na Celtic...
Chirwa na Djodi wanacheza kwa kuelewana kutokana na Djodi kuwa na uwezo wa umiliki mpira kwa hali ya juu ambapo akisaidiana na Chirwa mwenye nguvu basi mabeki wa timu pinzani huwa wanapata tabu.
Dar ...
Bocco Arejea na Ujumbe wa Kufurahisha Simba
JOHN Bocco ambaye ni nahodha wa Simba ametamba watachukua ubingwa wa ligi kuu na ule wa michuano wanayoshiriki ili kujipoza machungu ya kutolewa mapema kw...
MAN United inauwezekano wa kukosa wachezaji sana katika mchezo wao wa leo dhidi ya Leicester City hiyo ni baada ya kuelezwa kuwa Paul Pogba na Anthony Martial wataukosa mchezo huo.
Kipute hicho cha P...
MABINGWA watetezi, Simba SC wameendeleza wimbi la ushindi baada ya kuichapa Mtibwa Sugar mabao 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam.
Po...
Barcelona imekuwa ikiteseka sana kwa kucheza bila ya huduma ya Messi, ambapo wameshinda mara moja tu katika mechi nane alizokosa, ukijumlisha na zile za Novemba mwaka jana.
Barcelona, Hispania. Lione...
KIUNGO staa wa Simba, Claytous Chama jana alitumia muda mwingi mazoezini kudili na tatizo la Aishi Manula kufungwa mabao kwa mashuti ya mbali.
Chama alichukua mpira na kukaa nao katikati ya uwanja ku...
ILIPOISHIA juzi Jumanne katika makala haya yanayomhusu mwanachama na mmoja wa viongozi wa Yanga, aliyeibukia kutoka kuwa dereva hadi meneja.
Juzi tuliwaletea mambo mbalimbali yanayofanya atembee kifu...
Zesco imejengwa na wachezaji wenye uwezo mkubwa, ambao Yanga wanapaswa kuwa makini nao kwa dakika zote tisini ili kuanza vyema safari yao ya kwenda hatua ya makundi
Dar es Salaam. JUMAMOSI hii Yanga ...
Sura Mpya Kibao Kuivaa Mtibwa Taifa Kesho
KESHO Simba itatupa kete yake ya pili kucheza na Mtibwa Sugar lakini safari hii sura nyingi mpya zitaonekana kwenye kikosi cha kwanza.
Kwa mujibu wa mazoezi...
KOCHA Mkuu wa Yanga Mwinyi Zahera amesema kuwa mchezaji wake Straika David Molinga kazi yake ni kufunga na sio kupiga pasi nyingi huku akiwa amepewa majukumu mengine.
Zahera amesema Molinga akosekana...
Aliyekuwa kocha wa timu ya kandanda nchini Tanzania Emmanuel Amunike amelishtaki shirikisho la soka la Tanzania TFF kwa shirikisho la mchezo huo duniani FiFa akilalamikia kutolipwa haki yake.
Kulinga...
Tiketi zinapatikana kwa bei ya Sh 3,000, 5,000 na 10,000 katika vituo vya Dar Live, Chamazi Complex, kwenye duka la Ice Cream, na pale Azam Shop.
Dar es Salaam. Mashabiki wa AzamFC wataishuhudia mech...
Lionel Messi amepigiwa kura na kuchaguliwa kuwa Mchezaji bora wa Kimataifa kwa mwaka 2019, kwenye tuzo za ESPY.
Tuzo za ESPY (Excellence in Sports Performance Yearly Award) zinazolenga kutambua Utend...
Ndani ya misimu yake miwili akiwa na El Jadida, Msuva ambaye alijiunga na timu hiyo Julai 2017, ameifungia jumla ya mabao 24, yakiwemo 13 ya msimu uliopita.
Dar es Salaam. Nyota wa timu ya Taifa ya T...
Yanga inatarajia kuondoka Mwanza jioni kurudi Dar es Salaam kujiwinda na mchezo wake wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
Mwanza. Beki wa Yanga, Juma Abdul aliyekuwa amefiwa na mama yake leo ameungana na wenz...
USHINDI wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, umemkuna Kocha Mkuu wa Simba, Mbelgiji Patrick Aussem, huku akiwamwagia sifa wachezaji wa timu hiyo, wakiwamo kipa Juma Kaseja na beki wa kati, Kelv...
LIVERPOOL ENGLAND. SUPASTAA Sadio Mane alionekana kuwa mwenye hasira baada ya mshambuliaji mwenzake Mohamed Salah kushindwa kumpa pasi wakati yeye akiwa kwenye nafasi nzuri ya kufunga kwenye mch...
Farid ambaye alijiunga na CD Tenerife ya Ligi Daraja la Kwanza Hispania maarufu kama Segunda, amefichua hilo wakati akiwa kambini kabla ya mchezo wa jana dhidi wa Burundi wa kuwania kufuzu kwa a...
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Ubelgiji huenda Mbappe akawa mrithi wa Mbwana Samatta ambaye anatazamiwa kuondoka KRC Genk kipindi cha usajili cha Januari, mwakani.
NYOTA wa timu ya Taifa ya Tanza...
NAHODHA na mshambuliaji wa timu ya taifa ya Burundi, Saido Berahino, amemsifia beki wa Taifa Stars, Kelvin Yondani na kikosi hicho kwa ujumla, baada ya kutinga hatua ya makundi ya kuwania kufuzu fain...
Bigirimana alisema kutokana na maumivu hayo ya paja ameshindwa kuyaelewa na kuna wakati anajiona yuko vizuri lakini baadaye mambo hubadilika na kuwa mabaya zaidi.
YANGA inaendelea na maandalizi yake ...
Juventus imekataa kumuuza winga Douglas Costa 28 licha ya Man United kuwa na hamu ya kumsajili baada ya mkufunzi Maurizio Sarri kuzuia uhamisho wa nchezaji huyo wa Brazil. (Mail)
Real Madrid itawasil...
Mwanza. Wakati ikihitimisha tukio la Wiki ya Mwananchi kwa Kanda ya Ziwa jijini Mwanzai, Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera ameifananisha klabu hiyo na Barcelona ya Hispania, akisisitiza kuwa ...
JUMA Kaseja mlinda mlango wa timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' amesema kuwa kinachomfanya awe bora siku zote ni kipaji alichopewa na Mungu.
Jana Kaseja aliibuka shujaa baada ya kuokoa penalti...
Miamba hiyo ya Hispania, Los Blancos walikuwa na mpango wa kunasa saini ya kiungo huyo ambaye Man United walidai watakuwa tayari kumuuza kwa ada ya Pauni 150 milioni.
MANCHESTER, ENGLAND. IMEFICHUKA ...
Barcelona wanajiandaa kusaini mkataba na mshambuliaji wa mbele Lionel Messi, 32
Barcelona wanaandaa mkataba mpya wa mshambuliaji Lionel Messi, 32, ambao utambakisha nyota huyo Camp Nou kwa miaka iliy...
Uhamisho huo umemfanya Maguire ampiku Van Dijk, ambaye awali alikuwa akishikilia rekodi hiyo ya kuwa beki ghali duniani aliponaswa kwa Pauni 75 milioni miezi 20 iliyopita.
LIVERPOOL, England. LIVERPO...
Uongozi mpya wa Klabu ya Yanga ulioingia madarakani chini ya mwenyekiti wake, Mshindo Msolla na makamu wake, Frederick Mwakaleba umefanikiwa kukusanya shilingi 3,935,000,000 ndani ya miezi minne ta...
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa itakuwa kazi ngumu kwa wapinzani wao Zesco kupenya uwanja wa Taifa kwani wamejipanga kumaliza mchezo mapema kutokana na hasira walizopewa na Simba pamoja na KMC.
...