April 14, 2025


JULAI 31 dirisha la usajili kwa wachezaji wa ndani wa Ligi Kuu Bara linafungwa, Yanga bado wapo sokoni kutafuta nyota wakali wawili wa kujiunga na kikosi hicho.

Kaimu Katibu wa Yanga, Dismas Ten amesema kuwa mpango uliopo ni kuweka nafasi zaidi ya mbili kwa kila mchezaji ndani ya Yanga ambayo inashiriki michuano ya kimataifa.

“Bado dirisha la usajili halijafungwa nasi tumebakiza nafasi mbili ambazo tunazifanyia kazi, hivyo muda wowote tunashusha mashine mpya,” amesema.

Inaelezwa kuwa wachezaji ambao kwa sasa wanasakwa ni mabeki engo likiwa kuchukua nafasi ya Juma Abdul na Andrew Vincent ambao inaelezwa wana dai stahiki zao.
Tags: ,

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

Post a Comment

    Author Name

    Contact Form

    Name

    Email *

    Message *

    Powered by Blogger.