April 15, 2025

Sadney Urknob leo amekiwasha kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Friends Ranger uliochezwa uwanja wa Highland Park kwa kufunga moja ya bao kwenye ushindi wa mabao 2-0.

Leo Yanga ilicheza mchezo wa kirafiki kwa lengo la kujiweka sawa kwa ajili ya msimu ujao wakiwa chini ya Kocha Mkuu, Mwinyi Zahera.

Sadney alipachika bao hilo dakika ya 38 na bao la pili lilifungwa na Papy Tshishimbi dakika ya 64.
Tags: ,

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

Post a Comment

    Author Name

    Contact Form

    Name

    Email *

    Message *

    Powered by Blogger.