April 13, 2025


ETTINE Ndayiragije, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa kikosi kipo tayari kwa ajili ya michuano ya kimataifa pamoja na Ligi Kuu Bara.

Azam FC itamenyana na Fasil Kenema kwenye mchezo wa kwanza wa Shirikisho utakaochezwa Agosti 10 nchini Ethiopia.

"Tunajua tuna kazi kubwa kwenye michuano ya kimataifa pamoja na ligi, kwa sasa tumeanza kujiaanda na michuano ya kimataifa na tupo tayari kwa ushindani," amesema.

 Zimebaki siku 12 kabla ya Azam FC ambao ni mabingwa wa kombe la Shirikisho kuvaana na Fasil Kenema ya Ethiopia.
Tags:

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

Post a Comment

    Author Name

    Contact Form

    Name

    Email *

    Message *

    Powered by Blogger.