MASTAA Simba ikiwa ni pamoja na John Bocco,Meddie Kagere,Henock Inonga wamewasili Mwanza kwa ajili ya maandalizi ya mwisho wa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Geita Gold unaotarajiwa kuchezwa ke...
MTENDAJI Mkuu wa Klabu ya Simba Barbara Gonzalez na Ofisa Habari wa Klabu ya Yanga Haji Manara leo wametinga katika Ofisi za Shirikisho la Mpira Tanzania, (TFF) ambapo waliiitwa kwa ajili y...
LEO Mei 20,2022 Kocha Msaidizi wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Shadrack Nsajigwa ametangaza orodha ya wachezaji wa timu hiyo watakaoingia kambini.Wachezaji hao ambao wameitwa kwenye k...
PABLO Franco,Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa tatizo ambalo linamsumbua kwa sasa ni ubora wa wachezaji wake hasa kwenye safu ya ushambuliaji.Kwenye mchezo wao mzunguko wa pili dhidi ya Aza...
MIKEL Arteta, Kocha Mkuu wa Arsenal amesema kuwa walistahili kupata ushindi kwenye mchezo wao dhidi ya Newcastel United.Arsenal ilipoteza kwa kufungwa mabao 2-0 dhidi ya Newcastle United k...
BAADA ya kuwepo kwa tetesi kwamba Al Ahly ina mpango wa kumtoa kwa mkopo winga wake, LuÃs Miquissone, inaelezwa kwamba, uongozi wa Simba fasta umemfuata mchezaji huyo kutaka kumrejesha kikosini ...
MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya Geita Gold v Simba unaotarajiwa kuchezwa Mei 22,2022 utachezwa Uwanja wa CCM Kirumba.Geita Gold imekuwa kwenye mwendo mzuri msimu huu baada ya kuanza ...
KLABU za Simba na Yanga zimetozwa faini kwa makosa mbalimbali ya kikanuni katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baina yao ulionalizika kwa sare ya 0-0 Jumamosi iliyopita Uwanja wa Benjamin ...
WENYEJI, Namungo FC wamelazimishwa sare ya 2-2 na mabingwa watetezi, Simba SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Ilulu mjini Lindi. Mabao ya Namungo amb...
CEDRICK Kaze, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa wanahitaji kushinda kwenye mchezo wa leo dhidi ya Ruvu Shooting ili kuweza kupata pointi tatu muhimu.Vinara hao wa ligi wenye pointi 55 wanatar...
ALIYEWAHI kuwa Kocha Mkuu wa Yanga ambaye sasa ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Soka la Vijana, Mkongomani, Mwinyi Zahera, amefunga mjadala wa ubora wa mshambuliaji Fiston Mayele na beki wa Simba, ...