BAADA ya kuongoza kikosi cha Simba kwenye mechi mbili za ligi na kushinda zote, Zoran Maki, Kocha Mkuu wa Simba anatarajiwa kukiongoza kikosi hicho kwenye mechi za kimataifa za kirafiki ambapo wanatar...
Kikosi chetu kimeanza safari asubuhi hii kuelekea mjini Songea tayari kwa mchezo wa Jumatano wa kukamilisha msimu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mbeya Kwanza.Kikosi kimeondoka jijini Mbeya baada ya mchez...
SELEMAN Matola, Kaimu Kocha Mkuu wa Klabu ya Simba ameweza kuifanya timu hiyo kuweza kuogopesha kwenye mechi tatu ambazo amekaa kwenye benchi.Matola amekaimu mikoba ya Pablo Franco ambaye alikuwa koch...
Mashabiki waliojitokeza katika Uwanja wa Benjamin Mkapa wamemwagia pesa mlinzi wa kimataifa, Pascal Wawa wakati wa kuagwa baada ya kumalizika mchezo wetu dhidi ya Mtibwa Sugar.Mchezo wa leo ni w...
Mchezo wetu wa mwisho katika Uwanja wa nyumbani wa Benjamin msimu wa 2021/22 dhidi ya Mtibwa Sugar umemalizika kwa ushindi wa mabao 2-0.Pape Sakho alitupatia bao la kwanza dakika ya 16 baada ya ...
Mtoto wa miaka mitano Bernadetha Joseph Mwamboneke amewawakilisha mashabiki wetu nchi nzima katika hafla ya kuwashukuru kwa kuwa pamoja nasi msimu mzima wa 2021/22.Uongozi wa klabu umetumia mchezo wet...
Kiungo Rally Bwalya raia wa Zambia ametambulishwa rasmi kuwa Mchezaji wa Timu ya Amazulu ya Afrika Kusini akitokea SimbaBwalya amesema “Kujiunga na Amazulu kwangu ni mafanikio makubwa kwani nimekuwa n...
Baada ya kutajwa sana kutakiwa na kujiunga baadhi ya klabu za hapa nchini,kiungo Morlaye Sylla wa klabu ya Horoya amejiunga na klabu ya Arouca ya nchini Ureno.
IMEELEZWA kuwa, Simba ipo katika mazungumzo ya mwisho kwa ajili ya kumuachia mshambuliaji wake, Yusuph Mhilu kwenda Singida Big Stars.Mhilu ni kati ya washambuliaji waliosajiliwa na timu hiyo mwanzoni...
UNAAMBIWA mchakato wa kupitia wasifu wa kumpata Kocha Mkuu wa Simba atakayerithi mikoba ya Pablo Franco, umekamilika na kwamba, kocha ajaye muda si mrefu atatangazwa kikosini hapo.Hadi kufikia jana, k...
NI kama muvi! Ndivyo utakavyoweza kusema baada ya Simba kuwazidi ujanja Azam FC katika usajili wa kiungo mkabaji wa Coastal Union, Victor Akpan na kumpa mkataba wa miaka miwili.Timu hizo mbili zilikuw...
UNAAMBIWA pamoja na Wydad Casablanca na Raja Casablanca zote za Morocco kuhitaji saini ya kiungo raia wa Guinea, Morlaye Sylla, Simba SC imetumia ujanja wa kwenda kuzungumza na familia ya nyota huyo.S...
KIUNGO wa kimataifa wa Zambia, Rally Bwalya, juzi Jumapili alicheza mchezo wa mwisho dhidi ya KMC wa Ligi Kuu Bara akiwa Simba baada ya kuitumikia kwa kipindi cha misimu miwili.Bwalya alijiunga na Sim...
Uongozi wa klabu umempa mkono wa kwa heri mlinzi wa kati Pascal Serge Wawa, raia wa Ivory Coast ambaye anamaliza mkataba wake mwishoni mwa msimu huu.Wawa atacheza mchezo wake wa mwisho akiwa na kikosi...
INATAJWA kuwa beki wa kati wa Simba, Ibrahim Ame anayecheza kwa mkopo Mtibwa amegoma kuongeza mkataba kwa mabosi wake hao huku ikielezwa kuwa kuna mpango wa kujiunga na Coastal Union.Ame alijiun...
SI unauona moto walionao mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu Yanga SC? Sasa unaambiwa uongozi wa timu hiyo umetamba kuwa kwa usajili ambao wanaendelea kuufanya, basi watu wanapaswa kufahamu wanachokio...
Kiungo mshambuliaji Kibu Denis, amesema tuzo ya mchezaji bora wa mashabiki mwezi Mei (Emirate Aluminium ACP Simba Fans Player of the Month) imemuongezea morali ya kuendelea kujituma kuisaidia ti...
Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally amesema tutatumia mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya KMC utakaopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa saa moja usiku kumuaga kiungo wetu Rally ...
Uongozi wa klabu yetu umefikia makubaliano ya kumuuza kiungo mshambuliaji Rally Bwalya kwa timu ambayo hatutaiweka wazi kwa sasa kutokana na matakwa ya kimkataba.Bwalya atacheza mchezo wake wa m...
Kaimu Kocha Mkuu, Seleman Matola amewasifu wachezaji kwa kujituma kufanikisha ushindi mnono wa mabao 3-0 tuliopata jana dhidi ya Mbeya City.Matola amesema tulijua mchezo utakuwa mgumu kutokana na ushi...
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa.Tulianza mchezo kwa kasi na kuliandama lango la City t...
Klabu yetu imefanikiwa kumsajili mshambuliaji Moses Phiri raia wa Zambia aliyekuwa anachezea Zanaco FC ya nchini humo kwa mkataba wa miaka miwili.Phiri ambaye pia anaweza kucheza nafasi za...
Kaimu Kocha Mkuu Seleman Matola, amesema maandalizi yamekamilika kuelekea mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mbeya City utakaopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa saa moja usiku.Matola ...
Klabu yetu leo imekabidhiwa Tuzo ya Klabu Bora ya Kigitali kutokana na kufanya vizuri katika mitandao ya kijamii mwaka 2021.Tuzo hiyo tumekabidhiwa na waandaaji Serengeti Byte baada ya kuzishinda timu...
MABINGWA wa Tanzania Bara, Simba SC wameibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Cambianso Academy katika mchezo was kirafiki Leo Jijini Dar es Salaam. Mabao ya Simba katika mchezo huo yamefu...
KAIMU Kocha Mkuu wa Simba, Suleiman Abdallah Matola akizungumza na kiungo Mzambia, Clatous Chota Chama baada ya kuripoti mazoezini kufuatia mapumziko ya wiki mbili.
BAADA ya kufanya mazungumzo mazito na mabosi wa Simba SC, inaelezwa kwamba kocha wa zamani wa Kaizer Chiefs, Stuart Baxter, wamefikia makubaliano mazuri, lakini ameomba kwanza kurejea kwao Uinge...
LICHA ya kuanza mazoezi ndani ya kikosi cha Simba kiungo Clatous Chama bado hajawa fiti kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu akitibu majeraha ya enka.Nyota huyo wa Simba kwa sasa yupo Bongo baad...