BAADA ya kuongoza kikosi cha Simba kwenye mechi mbili za ligi na kushinda zote, Zoran Maki, Kocha Mkuu wa Simba anatarajiwa kukiongoza kikosi hicho kwenye mechi za kimataifa za kirafiki ambapo wanatar...
Kikosi chetu kimeanza safari asubuhi hii kuelekea mjini Songea tayari kwa mchezo wa Jumatano wa kukamilisha msimu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mbeya Kwanza.Kikosi kimeondoka jijini Mbeya baada ya mchez...
SELEMAN Matola, Kaimu Kocha Mkuu wa Klabu ya Simba ameweza kuifanya timu hiyo kuweza kuogopesha kwenye mechi tatu ambazo amekaa kwenye benchi.Matola amekaimu mikoba ya Pablo Franco ambaye alikuwa koch...
Mashabiki waliojitokeza katika Uwanja wa Benjamin Mkapa wamemwagia pesa mlinzi wa kimataifa, Pascal Wawa wakati wa kuagwa baada ya kumalizika mchezo wetu dhidi ya Mtibwa Sugar.Mchezo wa leo ni w...
Mchezo wetu wa mwisho katika Uwanja wa nyumbani wa Benjamin msimu wa 2021/22 dhidi ya Mtibwa Sugar umemalizika kwa ushindi wa mabao 2-0.Pape Sakho alitupatia bao la kwanza dakika ya 16 baada ya ...
Mtoto wa miaka mitano Bernadetha Joseph Mwamboneke amewawakilisha mashabiki wetu nchi nzima katika hafla ya kuwashukuru kwa kuwa pamoja nasi msimu mzima wa 2021/22.Uongozi wa klabu umetumia mchezo wet...